Serikali yaanza upya kuhakiki vyeti feki

Serikali ya mkoa wa Mbeya kupitia Katibu Tawala wa Mkoa Bi. Mariam A. Mtunguja imetangaza kuanza leo Februari 28 zoezi la kuhakiki upya vyeti vya kidato cha nne na sita kwa watumishi wake, kufuatia kupata taarifa uwepo watumishi ambao wanavyeti feki

Taarifa ya Katibu Tawala imesema kuwa wameamua kurudia zoezi hilo la kuhakiki upya vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita ili kuwabaini watu ambao bado wananufaika na malipo ya serikali licha ya kuwa na vyeti feki. 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo