Mh. Lema atoa neno baada ya Tambwe kufariki dunia

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema baada ya kupata taarifa ya kifo cha Kada wa Chadema Tambwe Hizza , mbunge huyo ameibuka na kusema kuwa kada huyo aliishi kwa hofu

Lema leo amesema kuwa utu na haki ndio kifo halisi katika maisha yetu.
Watu wengi wanafikiri kufa ni jambo baya na gumu,lakini ukweli ni kwamba kuishi bila wajibu,utu na haki ndio kifo halisi katika maisha yetu,wewe Tambwe uliishinda hofu .Utaendelea kuishi,” ameandika Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Hata hivyo jana alishiriki kampeni za kumnadi Salum Mwalimu(Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni) Tandale mapema jioni kabla ya Vikao vya chama.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo