Mbunge: Njombe Tunaonewa Takwimu za Kuongoza kwa VVU

Mbunge wa Njombe Mjini (CCM) Edward Mwalongo amesema takwimu zinazoonesha kuwa Mkoa wa Njombe Unaongoza kwa maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Kitaifa, ni takwimu za kuonewa

"Hizi Takwimu za Njombe kuongoza kwa maambukizi mnazitoa wapi, ni za lini, au kuna kuonewa? kama mnataka takwimu halisi kwanini msifanye utafiti kila mwaka?" amesema

Ametoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma wakati akichangia hoja, ambapo amesema upo umuhimu wa takwimu kama hizo kuangaliwa upya


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo