ZIARA YA BAWACHA - TAIFA
Sumbawanga, Rukwa
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA - BAWACHA Taifa Mhe. Halima Mdee akiwa ameongozana na Katibu wa BAWACHA Taifa Mhe. Grace Tendega pamoja na Mjumbe wa Baraza Kuu la CHADEMA Mhe. Suzani Mgonukulima katika kikao na Viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Rukwa kilichofanyika leo Jumatano tarehe 10 Januari, 2018 jimboni Sumbawanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya baraza hilo yenye lengo la ujenzi na uenezi wa chama ikiwa ni pamoja na kuangalia uhai wa baraza hilo na kutoa mwongozo wa shughuli mbalimbali.
Habari - CHADEMA
Kanda ya Nyasa
10 Januari, 2018
Kanda ya Nyasa
10 Januari, 2018








