Nimeamua bila kushurutishwa na mtu yoyote kuunga mkono juhudi za Man City katika kusaka ubingwa wa EPL msimu huu. Hii ni baada ya kuchoshwa na utendaji usioridhisha wa Gunners 🤔🤔🤔— Faustine Ndugulile (@DocFaustine) January 14, 2018
Waziri wa Magufuli adai amechoshwa na utendaji usioridhisha
By
Edmo Online
at
Sunday, January 14, 2018
