Waziri aamua kuacha Gari na Kukimbilia Baiskeli huko Shinyanga

Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akiwa kwenye baiskeli yenye madumu akijionea adha wanayoipata wakazi wa Kijiji cha Mwakitolyo katika Wilaya ya Shinyanga, wanapokuwa wakitafuta maji kwa umbali mrefu kutokana na kukosekana kwa huduma ya uhakika ya maji


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo