Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasiana na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa amesema kuwa alikwenda Ikulu baada ya kuitwa na Rais John Pombe Magufuli akimtaka arudi CCM lakini alimjibu kuhama kwake hakubahatisha.
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM Mwammmlllllll
1 hour ago
