Diwani ajiuzulu kwa kuridhishwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Diwani wa Kata ya Namichiga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wilayani Ruangwa mkoani Lindi Bwana, Mikidadi Ibadi Mbute, amejiuzulu nafasi yake na kutangaza kujiunga na CCM baada ya kuridhishwa na kasi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Pia Bakari Hamisi Mpanya maarufu kama Selenge aliyekuwa Diwani wa Kata ya Nachingwea, kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amejiunga na CCM na kusema ameridhishwa na kasi ya mbunge wa Ruangwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo