Naona WA MATAIFA wamewashinda sasa mnavamia watumishi wa MUNGU. Tunguli kamwe haziwezi kushinda NGUVU za Mungu... why don’t you start na watumishi wa Mungu wanaousifu utawala wenu DHALIMU? Unaopoteza watu na kuminya DEMOKRASIA? Hakuna MAREFU yasiyo NCHA ndugu Rais. https://t.co/GeBNomdTc7— Halima James Mdee (@halimamdee) December 28, 2017
Mdee: Tunguli kamwe haziwezi kushinda NGUVU za Mungu
By
Edmo Online
at
Friday, December 29, 2017
