Kinana akunjua makucha.....Afutilia Mbali Mgombea Singida Kaskazini

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefuta mchakato wa kura za maoni uliofanyika katika jimbo la Singida Kaskazini kutokana na baadhi ya wagombea kujihusisha na vitendo vya rushwa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo