SIMIYU: Katibu wa CCM wilayani Itilima amelazwa hospitali ya Wilaya baada ya kushambuliwa na kujeruhiwa na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa CHADEMA wakati akiwasindikiza mawakala wa chama chake(CCM) kwenda vituo vyao kusimamia kura#UchaguziMadiwani#JFLeo pic.twitter.com/mZrx3f0B4b— Jamii Forums (@JamiiForums) November 26, 2017
Katibu wa CCM Hoi Baada ya Kushambuliwa na wafuasi wa CHADEMA
By
Edmo Online
at
Sunday, November 26, 2017