Katibu wa CCM Hoi Baada ya Kushambuliwa na wafuasi wa CHADEMA

SIMIYU: Katibu wa CCM wilayani Itilima amelazwa hospitali ya Wilaya baada ya kushambuliwa na kujeruhiwa na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa CHADEMA wakati akiwasindikiza mawakala wa chama chake(CCM) kwenda vituo vyao kusimamia kura


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo