Lema: "Nimeona Mabadiliko Cabinet ya JPM

Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangaza baraza jipya la Mawaziri huku mawaziri wengi wakiwa wamesalimika katika wizara zao na wachache kufanyiwa mabadiliko, Mbunge wa Arusha Mjini ametoa mtazamo wake na kusema kwamba katiba mpya ndiyo tumaini kwa nchi.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Twitter, Lema amesema kwamba ameona mabadiliko ya baraza la Rais Magufuli lakini bado fikra ni zile zile na na watu ni wale wale na kudai katiba mpya ndilo suluhisho.
"Nimeona Mabadiliko Cabinet ya JPM. Watu ni wale wale, fikra zile zile. Katiba Mpya yenye fikra mpya ndio tumaini kwa mabadiliko sahihi ya nchi" Lema.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo