Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Twitter, Lema amesema kwamba ameona mabadiliko ya baraza la Rais Magufuli lakini bado fikra ni zile zile na na watu ni wale wale na kudai katiba mpya ndilo suluhisho.
"Nimeona Mabadiliko Cabinet ya JPM. Watu ni wale wale, fikra zile zile. Katiba Mpya yenye fikra mpya ndio tumaini kwa mabadiliko sahihi ya nchi" Lema.