skip to main |
skip to sidebar
ACT Wazalendo wamfungulia Kesi Rais Magufuli
CHAMA cha ACT Wazalendo leo Oktoba 11/2017, kimewasilisha mahakamani kesi ya kupinga uteuzi wa Katibu wa bunge uliokiuka Katiba na sheria za nchi
Kwa mujibu wa Afisa habari wa chama hicho Abdallah Khamisi amesema taarifa zaidi juu ya suala hilo zitatolewa kesho baada ya taratibu za kimahakama kukamilika.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi