Serikali inaandaa mpango, Kila tukio Litatolewa Ufafaunzi Mapema

Serikali imesema kuwa inaandaa mpango wa kuhakikisha kila tukio linatolewa ufafanuzi mapema ili kutoruhusu watu kuzusha taarifa.

- Waziri Mwigulu Nchemba amedai kuwa vifo kama vya Mchungaji Mtikila na Alphonce Mawazo viliachwa bila ya kutolewa ufafanuzi hali iliyopelekea kuzua mjadala.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo