Lema kumjibu Waziri Mwigulu Kesho

Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amesema kesho atazungumza na waandishi wa habari kuhusu kauli tata za waziri wa mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba

Kupitia ukurasa wake wa twitter Mbunge huyo ameutumia kutoa taarifa hiyo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo