AUDIO:Mbunge wa Makete adai Kuongea na simu zaidi ya dakika 6 ni HATARI

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete Prof Norman Sigala amesema yapo madhara makubwa kwa binadamu anayezungumza na simu kwa zaidi ya dakika 6

Amesema madhara yanayotokana na Minara ya simu ni madogo lakini yanayotokana na simu ndiyo makubwa

Bonyeza Play Hapa chini Umsikilize:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo