AUDIO + Picha: Dakika 25 za Kaimu Mwenyekiti wa Yanga Green FM 91.5

 Kaimu mwenyekiti wa Yanga Clement Sanga (kushoto) akiwa kwenye studio za Green FM



Makamu mwenyekiti wa timu ya Yanga ambaye pia ni Kaimu Mwenyekiti wa timu hiyo Clement Sanga ametembelea studio za Green Fm na kuzungumza mambo mengi kuhusu timu ya Yanga pamoja na maendeleo ya wilaya ya Makete kwa Ujumla

Miongoni Mwa aliyoyazungumza ni pamoja na Ujenzi wa uwanja wa Michezo Makete na mengine mengi, unsipate tabu Bonyeza Play hapo chini umsikilize au ubonyeza Downlaod ili kupakua kile alichokisema



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo