VIDEO: Watuhumiwa wa Kike wawekwa kaunta ya Polisi Badala ya Mahabusu

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba alitembelea kituo cha polisi cha wilaya ya Mkalama mkoani singida kuangalia hali ya kituo na utendaji kazi na mazingira ambayo wanayofanyia kazi askari wa kituo hicho ambapo baada ya kuangalia hali ya kituo ilimshangaza.
Hata hivyo Waziri Nchemba alijionea hali ambayo si nzuri ya kituo cha polisi cha wilaya hiyo. Ambapo kituo hicho kina mahabusu moja ya wanaume tu huku wanawake wakiwekwa mapokezi.
Video:




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo