Leo Mei 21, 2017 mashabiki wa Yanga walijitokeza kwa mamia kuipokea timu yao kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa Dar wakati timu hiyo ikiwasili kutoka Mwanza ikiwa na kombe la ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu huu 2016/2017.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi