Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, BONIVENTURE MUSHONGI amesema ajali hiyo ilitokea Aprili 24 saa 12 jioni katika Jiji na Kata ya Kasoli Tarafa ya Mhango Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, ambapo baadhi ya majeruhi wamelazwa katika Hospitali Teule ya Mkoa wa Simiyu na hali zao zinaendelea vizuri.
Mvua yauwa wanafunzi wawili na kujeruhi wanne
By
Edmo Online
at
Wednesday, April 26, 2017
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, BONIVENTURE MUSHONGI amesema ajali hiyo ilitokea Aprili 24 saa 12 jioni katika Jiji na Kata ya Kasoli Tarafa ya Mhango Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, ambapo baadhi ya majeruhi wamelazwa katika Hospitali Teule ya Mkoa wa Simiyu na hali zao zinaendelea vizuri.
