Wananchi wa Tandala Makete waendelea Kubomoa Nyumba zao wenyewe










Wito umetolewa kwa wananchi walioko kwenye hifadhi ya barabara ya Njombe Makete kutii agizo la serikali la kubomoa nyumba zao kwa hiari ambapo Machi 26 mwaka huu ndiyo siku ya mwisho Ya kutekeleza agizo hilo kwa hiari.

wakizungumza na blog hii baadhi ya wahusika wa bomoa bomoa hiyo wamewasihi ambao hawajabomoa kutii agizo la serikali kwakuwa barabara ya lami waliomba wenyewe kujengewa na itakuwa na maendeleo kwao.


Aidha wananchi hao wamesema kuwa matarajio yao makubwa ni serikali kujenga barabara hiyo ya lami kwa wakati japo wengine wamelipokea vizuri wengine vibaya japo maendeleo yana hitaji kugaramiwa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo