Sijaiona ripoti ya Nape, Asema Waziri Mwakyembe

Waziri Dkt Mwakyembe asema hajaiona ripoti ya Nape Nnauye na yeye kama mwanasheria hawezi kupeleka ripoti ambayo haijakamilika.

Huwezi kuwa hakimu kwenye kesi yako mwenyewe. Nyote mlisikia kuwa Clouds pekee ndio waliohojiwa na upande wa pili haukupatikana.

Msikilize hapa akiongea>>>>>>>


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo