Huu ni ujumbe wa Rais Magufuli kwa wanawake wote

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewapongeza wanawake wa Tanzania katika kuunga mkono juhudi za serikali katika maendeleo.

Rais Magufuli ameandika hayo kupitia mtandao wa Twitter.
“Aidha ninawapongeza Wanawake wa Tanzania kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali ktk maendeleo. Mungu awabariki Wanawake wote.Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wanawake wote ktk kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani.”


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo