Angalia Picha 11 za Kilichowapata waandishi wa Habari Ofisi za CCM Dar

Waandishi wa habari leo walijikusanya katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar as salaam, baada ya kuzagaa taarifa kuwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Comrade Abdulrahman Kinana atazungunza na waandishi wa habari.
Hata hivyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, alikuja kukanusha, “Napenda kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba Katibu Mkuu wa CCM Komrade Kinana hatakuwa na Mkutano na waandishi leo. Asante”
Hizi ni picha za waandishi wakiwa katika sintofahamu katika ofisi za chama hicho:
Na Emmy Mwaipopo wa Bongo5


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo