Angalia Picha 12; Umeme waleta Kizaa zaa Kariakoo

 Waya wa umeme uliokatika ukiwa unaanza kutoa moshi baada ya kukatika mtaa wa Mchikichi na Msimbazi.


  Gari la Zimamoto likiwa eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.

 Askari wa zimamoto wakiwa wanajaribu kuuzima moto huo kabla ya shirika la umeme la Tanesco hawajafika.
 Gari la Shirika la umeme Tanesco likiwasili eneo la tukio mtaa wa Mchikichi na Msimbazi baada ya waya wa umeme kukatika na kuanza kutoa moshi na hatimaye moto.

Wafanyakazi wa Shirika la Umeme la Tanesco wakiwa wanajadiliana na askari wa zimazoto baada ya kufika eneo la tukio na kuzima umeme.
Picha zote na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo