Serikali inawaagiza wahariri wa gazeti la Mwanahalisi kujitathmini na kuchukua hatua kwa kutumia kifungu cha 40 cha sheria ya huduma za habari 2016 kinachowapa fursa ya kuomba radhi kwa kumuomba radhi Rais ndani ya saa 24 kuanzia saa 10 jioni ya leo Januari 30, 2017, zaidi soma waraka huu hapa chini
