Msiba Mwingine Tena


 ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Said Mohamed amefariki dunia leo  katika Hospitali ya Agha khan alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Mzee Said Mohamed aliwahi kuwa Meneja mkuu wa Kampuni ya  Azam na  mwenyekiti wa Azam Fc. Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo