Muswada wa Habari wawakutanisha Kwa Dharura waandishi wa habari wa Mbeya

 Wanahabari Mkoa wa Mbeya wakiwa katika Mkutano wa dharuara kwa ajili ya kujadili mswada wa sheria huduma za habari ya mwaka 2016 Mkutano huo ulifanyika jana katika Ofisi cha waandishi wa habari Mkoa wa Mbeya aliye simama ni Mwandisghi kutoka Gazeti la Jambo Leo Moses Ng'wat.

Picha zote Kenneth Ngelesi




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo