Wanahabari Mkoa wa Mbeya wakiwa katika Mkutano wa dharuara kwa ajili ya kujadili mswada wa sheria huduma za habari ya mwaka 2016 Mkutano huo ulifanyika jana katika Ofisi cha waandishi wa habari Mkoa wa Mbeya aliye simama ni Mwandisghi kutoka Gazeti la Jambo Leo Moses Ng'wat.
Picha zote Kenneth Ngelesi