Gari aina ya Scania limeteketea kwa moto mjini Dodoma Jumamosi, Oct 9, maeneo ya Kisasa Sheli kwa Malanga. Haikuweza kufahamika mara moja chanzo cha moto huo. Hakuna majeruhi walioripotiwa.
Picha na video vimechukuliwa na Sam Chard (Dodoma)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube