Ataka kujiua kwa kujirusha katika Daraja Ubungo Terminal

Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake ametaka kujiua kwa kujitupa chini baada ya kupanda kwenye Daraja la Ubongo kituo cha mabasi ya Mkoa.

Mtu huyo ambaye hakufahamika kama ni mgonjwa wa akili au kachoka kuishi tu amekuwa ni kituko katika eneo hilo la Ubungo baada ya kutaka kujirusha kwenye Daraja kwa lengo la kujiua. 

Hata hivyo haikufahamika kilicho msibu mtu huyo mpaka akaamua kutaka kujiua, Hata hivyo Polisi walifika Eneo la Tukio na kufanikiwa kumshusha Chini na kumpeleka katika kituo cha polisi Urafiki..




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo