Kanisa la Ufufuo na Uzima, jana limeongozwa na mchungaji
Edward Adriano badala ya Askofu Josephat Gwajima ambaye Msako huo wa Askofu Gwajima umekuja baada ya kusambaa kwa sauti inayosikika kama yake
akitaka Rais mstaafu, Jakaya Kikwete afikishwe mahakamani kwa yote yaliyofanyika wakati wa
utawala wake.
Jana, Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema suala la Askofu
Gwajima atalizungumza leo.
Alhamisi iliyopita polisi walizingira nyumbani kwa askogu huyo kwa saa saba, wakitaka
kumkamata bila mafanikio.
