Breaking News: Mbunge afariki dunia ghafla

Aliyekuwa mbunge wa Biharamulo Magharibi kupitia CHADEMA bunge lililopita, Dr. Gervase Mbassa amefariki dunia. Ni kifo cha ghafla sana, Na bado haijajulikana sababu za kifo chake


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo