Rais Magufuli Atoa Msamaha kwa wafungwa 3,551

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Projest Rwegasira, wafungwa 580 wataachiwa huru huku 2,971 waliosalia watapunguziwa moja ya sita ya vifungo vyao.
Rais John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 3,551 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 52 ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Projest Rwegasira, wafungwa 580 wataachiwa huru huku 2,971 waliosalia watapunguziwa moja ya sita ya vifungo vyao.
Miongoni mwa wafungwa watakaonufaika na msamaha huo ni wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 70, wenye ulemavu wa akili na wale waliothibika kuwa na ugonjwa wa Ukimwi na saratani.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo