Mkuu wa wilaya aliahidi kufuatilia changamoto za maji jumatatu tarehe 18/04/16. suala la ardhi Mkuu wa wilaya aliagiza afisa ardhi apime upya maeneo pia uangaliwe uwezekano wa wewekazaji kupunguza maeneo na kuwagawia wananchi. Pia alishauri wafugaji wapunguze mifugo wanunue ardhi.
Hii hapa kutoka kwa mkuu wa Wilaya ya Iringa
By
Edmo Online
at
Monday, April 18, 2016
Mkuu wa wilaya aliahidi kufuatilia changamoto za maji jumatatu tarehe 18/04/16. suala la ardhi Mkuu wa wilaya aliagiza afisa ardhi apime upya maeneo pia uangaliwe uwezekano wa wewekazaji kupunguza maeneo na kuwagawia wananchi. Pia alishauri wafugaji wapunguze mifugo wanunue ardhi.





