Vilio vyatanda, Polisi aliyekufa na Familia yake Dodoma wote wameagwa, Angalia picha

Mwili wa marehemu Insp GERALD RYOBA aliyefariki jana kwenye ya gari iliyosababishwa na mafuriko,umeagwa hii leo mjini DODOMA kabla ya kusafirishwa kwenda kuzikwa mkoani GEITA siku ya kesho tarehe 6.

Wanaotarajiwa kuzikwa GEITA kesho ni pamoja na GERALD,mkewe FIDIA na watoto wao wawili GERALD na GODWIN,Dereva wao RAMADHANI aliyekuwa akiwaendesha yeye atasafirishwa kwenda Dar es Salaam leo tarehe 5 na kufikishwa nyumbani kwake Kilwa road kwa heshima za mwisho kabla ya kupelekwa Lindi kwa mazishi.

Binti wao wa kazi anatarajiwa kuzikwa Iringa kwa wazazi wake

Taarifa hii ni kwa mujibu wa Afande KITUNDU- ASP ADMIN WA POLISI Tanzania

MUNGU AWAPUMZISHE KWA AMANI.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo