Video tatu za Diamond Platnumz akifunguka kila kitu kuhusu yeye

Msanii nguli na ‘The Hit maker’ wa singo mya ya Je Utanipenda, Diamond Platnumz amekuwa msanii wakwanza kwa mwaka 2016 kufungua kipindi maarufu cha PAPASOkinachoruka hewani kupitia TBC FM kila siku za Jumatatu-Ijumaa kuanzia saa 1:00 hadi 4:00 usiku. Katika mahojiano na Mtangazaji wa kipindi hicho D’jaro Arungu, msanii Diamond amezungumza mengi kuhusu muziki na mambo mengine mengi ambayo hukuwahi kuyasikia. Tazama video hizi hapa chini kufahamu yote kwa undani.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo