Picha 39 za uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete

 Mkurugenzi mtaendaji wa halmashauri ya wilaya ya Makete Bw. Francis Namaumbo akifafanua jambo kwenye kikao cha baraza la madiwani Makete

 Mgombea Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete (CHADEMA) ambaye ni diwani wa kata ya Matamba Mh. Ng'ondya akijinadi kuomba kura
 Mgombea Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete (CCM) ambaye ni diwani wa kata ya Tandala Mh. Egnatio Mtawa akijinadi kuomba kura 
 Madiwani wakipiga kura

 Mgombea wa CHADEMA akipiga kura
 Uhesabuji kura za mwenyekiti wa halmashauri ukiendelea
 Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho akitangaza matokeo ya mwenyekiti, kulia ni mbunge wa jimbo la Makete Prof. Norman Sigalla
 Matokeo ya mwenyekiti yakitangazwa

 Mh. Jison Mbalizi mgombea umakamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete kupitia CCM ambapo aliibuka mshindi
 Diwani wa Ipelele Mh Mwipelele Mbogela akimuuliza swali Mh Jison Mbalizi
 Mgombea umakamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete kupitia CHADEMA Mh Asifiwe Luvanda akiomba kura
 Kura za makamu mwenyekiti zikipigwa

 Baraza la madiwani Makete
 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh Egnatio Mtawa akikaribishwa kwenye kiti chake mara baada ya kutangazwa mshindi
 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh Egnatio Mtawa (kulia) akiwa na makamu mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Jison Mbalizi
 Afisa utumishi wa wilaya ya Makete Bw. Nicodemus Tindwa
 Mbunge wa jimbo la Makete Prof Norman Sigalla akifuatilia zoezi hilo


 Mbunge Prof Sigalla akitoa neno la shukrani
 Mwenyekiti wa halmashauri ya Makete Mh Egnatio Mtawa akifafanua jambo
 Msoloma Sanga akizungumza na mwanahabari Henrick Idawa wa Green Fm

 Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Makete Francis Chaula akizungumzia ushindi wa chama chake katika nafasi hizo




Henric Idawa akimuhoji Mbunge wa Makete Prof Norman Sigalla

 Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Makete Francis Namaumbo akizungumza na mwandishi wetu 

Mwenyekiti mstaafu wa halmashauri ya wilaya ya Makete ambaye pia nidiwani wa kaya ya Lupila Mh Daniel Okoka
Kusoma habari kamili BONYEZA HAPA


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo