Mkuu wa wilaya "aiga" staili ya Magufuli


MKUU wa wilaya ya Mbeya, Nyerembe Sabi Mnasa, amefanya ziara ya kushtukiza leo asubuhi katika Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Jijini Mbeya na kutaka wateja wote kuingizwa katika mfumo wa kompyuta.

Wakifurahia ujio wake, wafanyakazi wa mamlaka hiyo wamesema amewaongezea nguvu na hali ya kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu katika awamu hii ya Hapa Kazi Tu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo