Akitoa taarifa ya pamoja ya wabunge wote wa CUF katibu wa wabunge wa CUF bungeni Mh Hamid Bobali amesema nia ya wabunge wa UKAWA haikuwa kufanya vurugu ndani ya bunge bali ni kupaza sauti kwa serikali kuharakisha kutanzua mkwamo wa kisiasa visiwani zanzibar.
CUF watoa ufafanuzi kuhusu wabunge wake kuzomea bungeni
By
Edmo Online
at
Monday, November 23, 2015
Akitoa taarifa ya pamoja ya wabunge wote wa CUF katibu wa wabunge wa CUF bungeni Mh Hamid Bobali amesema nia ya wabunge wa UKAWA haikuwa kufanya vurugu ndani ya bunge bali ni kupaza sauti kwa serikali kuharakisha kutanzua mkwamo wa kisiasa visiwani zanzibar.