Picha: Wachawi waliokuwa wakisafiri kwa ungo waanguka mkoani Njombe

 Watu Wanaodaiwa Kuanguaka Kwa Imani za Kishirikina Wilayani Wanging'ombe Hao Hapo



Picha na Gabriel Kilamlya, Njombe


Watu Watatu Ambao Hawajajulikana Majina Yao Jinsi ya Kiume Wamekutwa Wameanguka Katika Kijiji Cha Utiga Wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe Kwa Imani za Kishirikina.

Watu Hao Ambao Hawajafahamika Mara Moja Wanakotoka Wanadaiwa Kuwa Walikuwa Safarini Kuelekea Songea Mkoani Ruvuma Lakini Walipofika Katika Kijiji Hicho Ndipo Walipoanguka.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo