M-Pesa ya ajabu yagundulika wilayani Makete mkoani Njombe

 Mteja akihesabu fedha zake ili amkabidhi wakala wa Mpesa aweze kumuwekea kwenye akaunti yake. Hii ni kata ya Ikuwo wilaya ya makete mkoa wa Njombe, kutokana na kukosekana kwa mtandao wa simu, wananchi hao wamekuwa wakijikusanya eneo moja ambalo mtandao hupatikana kwa kusuasua kama unavyoona
Namba ya wakala wa Mpesa kama ilivyoandikwa kwenye ukingo wa kalavati katika kijiji Cha Ikuwo wilaya ya Makete Njombe(Picha na Edwin Moshi)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo