Watangazaji wauawa kazini wakiwa LIVE kwenye Interview…(Video)

Aliyehusika kufanya tukio hilo inasemekana ni mwajiri wa zamani wa kituo hicho cha Televisheni na aliamua kusambaza video ya tukio hilo baada ya kufanya tukio hilo.
Polisi walifanikiwa kumweka chini ya ulinzi muhusika wa tukio hilo lakini wakati akiwa bado kwenye gari lake kabla ya kuwekwa mikononi mwa polisi alijipiga risasi na kufariki dunia akiwa ndani ya gari.
Hili ni tukio lingine ambalo limetokea jana August 26 katika jiji la Virginia Marekani.
Video ya tukio zima iko hapa…


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo