Mgombea wa Chama cha Wakulima AFP achukua fomu ya kugombea Urais

  Afisa Uchanguzi Mwandamizi Deogratus Nsawagwanko akimkabidhi fomu Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupiti chama cha wakulima (AFP), Omari Mohamed Sombi leo katika ofisi za Tume ya uchaguzi  jijini Dar es Salaam.
Afisa Uchaguzi Mwandamizi, Rafiki Kiravu akitoa  maelekezo kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia  Chama cha Wakulima (AFP), Omari Mohamed Sombi kabla ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo leo  katika ofisi za Tume ya uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia  chama cha wakulima (AFP), Omari Mohamed Sombi akionesha fomu ya kuwania nafasi hiyo hapa nchini  akiwonesha waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kuchukua fomu hiyo katika ofisi za tume ya uchanguzi (NEC) leo jijini Dar es Salaam.

(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo