Mgombea Urais CCM Dkt Magufuli achukua fomu ya Urais

Tayari Mgombea wa CCM, John Magufuli ameshachukua fomu ya Urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi. ‪#‎MgombeaUraisCCM‬

Magufuli: Nataka niwambie kuwa nitapeperusha vizuri bendera ya chama bila kujali vyama vyao, simuoni wa kutushinda.

Magufuli: Nataka niwahakikishie kuwa tutashinda na tutashinda kwa kishindo kikubwa ili mimi na Mh. Samia tuitumikie TZ.

Magufuli: Tusibaguane kwa imani zetu na misingi hiyo imara ambayo tumeachiwa tangu enzi za baba wa Taifa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo