Breaking News: CHADEMA wampitisha Lowassa kugombea Urais

Mkutano Mkuu wa CHADEMA kwa pamoja wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.

Kanda zote zimesema kura ya NDIYO kwa Mh. Edward Lowassa hakuna kanda iliyosema HAPANA, huku wakishangilia Rais Rais

Kanda ya Kaskazini,Kanda ya kati, Kanda ya Magharibi,Kanda ya Kusini na nyingine zote wamesema NDIYO kwa Haji Duni hakuna HAPANA


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo