Watoto waruhusiwa kufanya "ngono" nchini Afrika Kusini

Nimekutana na stori kutoka South Africa inayoweka headlines usiku wa leo, South Africa hapo awali ilikuwa na Sheria iitwayo Sheria ya Makosa ya Jinai (Makosa ya Kujamiana na Mashirika Mamo) iliyokuwa inakataza vijana chini wa miaka 18 kufanya mapenzi.
cover
Mwezi uliyopita Serikali ya South Africa ilifanya mabadiliko ya Sheria hiyo na Mwenyekiti wa Kamati Kwingineko juu ya Haki na Huduma za Magereza Mathole Motshekgaalisema hapo awali aliamini kuwa kama jamii jukumu lao ni kuwafundisha watoto kujichunga,  lakini alikuwa anakosea na kuwanyima watu hao haki zao za kibinadamu.
MATHO
Mathole Motshekga
 Bunge la Katiba lilikaa na kufanya mabadiliko juu ya vifungu 15 na 16 ya Sheria hiyo kwa kusema kuwa Vifungu hivyo vinaenda kinyume na Katiba inayosema kila Raia ana uhuru wa maamzi yake binafsi na pia ni kinyume na haki za binadamu.
south-africa-parliament
Bunge la Katiba limesema kila mtu iwe mkubwa au mdogo ana haki ya kufanya maamuzi binafsi yanayomhusu yeye bila kupingwa au kuingiliwa na mtu yoyote.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo