Rais Jakaya Kikwete atupiwa mashitaka

Muda mchache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter kuhamasisha wananchi wa jiji la DSM kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, wananchi wamegeuza eneo hilo kuwa ni la kutupia lawama na mashitaka mbalimbali kuhusu zoezi hilo.

Wengi wameonekana kumwelezea Rais Kikwete jinsi wanavyokerwa na changamoto hizo, angalia twit ya rais Kikwete na majibu ya "followers" wake hapa chini
 






JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo