Mwenyekiti wa CCM Singida Mgana Msindai ahukumiwa jela kwa kosa la uzembe


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida ahukumiwa kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya Tsh 70,000 (elfu sabini) baada ya kukiri kosa la kusababisha kifo kwa uendeshaji wa kizembe. 

Hii metokea katika Mahakama ya Hakimu mkazi Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.

Hata hivyo alifanikiwa kukwepa kifungo jela baada ya kulipa faini

Chanzo: Nipashe



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo