Mh John Shibuda ameiandika barua kamati kuu ya chadema ya kuomba kukoma kuwa mwanachama wa Chadema


Mh John Shibuda ameandika barua kamati kuu ya chadema ya kuomba kukoma kuwa mwanachama waChadema baada ya bunge hili kuvunjwa.

Kamatikuu ya Chama imeridhia na kumtakia safari njema,na mafanikio mema huko aendako.


Kwa muda mrefu Mbunge John Shibuda amekuwa na mgogoro wa kimyakimya na Chama Chake.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo