Breaking News: James Lembeli aondoka CCM, atangaza rasmi kujiunga na CHADEMA mchana huu

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, Mhe. James Daudi Lembeli.

Mbunge wa jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, Mhe. James Daudi Lembeli ametangaza rasmi hii leo kuachana na Chama cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA)

Lembeli ametangaza maamuzi yake hayo leo jijini DSM katika makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es Salaam

Miongoni mwa sababu zilizomfanya kuhama CCM amesema ni kutoridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi CCM uliofanyika hivi karibuni Mkoani Dodoma

Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa Eddy Blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo